Image

Burudani

Burna Boy awakosoa wasanii wa Nigeria wanao bweteka

Burna Boy awakosoa wasanii wa Nigeria wanao bweteka

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Burna Boy ametoa onyo au kuikosoa tasnia ya muziki Afrika baada ya kusema kuwa "kuwa maarufu kwenye Twitter au kusikilizwa mara milioni moja Nigeria hakutoshi" kwani hakulingani kwa mapato na kusikilizwa Ulaya au Marekani. Ametoa onyo kwa wasanii wasiridhike na sifa za ndani pekee.

Image
Image
Image
Image
More forecasts: oneweather.org