Image

Burudani

BARUA YA TUPAC ALIYOMUANDIKIA MADONNA AKIWA JELA ILIUZWA TSH. MILIONI 260

BARUA YA TUPAC ALIYOMUANDIKIA MADONNA AKIWA JELA ILIUZWA TSH. MILIONI 260

Mwaka 1995, rapa mashuhuri Tupac Shakur aliandika barua ya mkono kwa mwanamuziki Madonna akiwa gerezani Clinton Correctional Facility, New York. Barua hiyo, ambayo baadaye ilifichuliwa miaka kadhaa baada ya kifo chake, ilieleza sababu za kuvunjika kwa uhusiano wao wa kimapenzi.

Image
Image
Image
Image
More forecasts: oneweather.org