Waziri mkuu wa slovakia, robert fico yupo katika hali tete kiafya baada ya kujeruhiwa katika jaribio lililolenga kukatisha uhai wake

Waziri Mkuu wa Slovakia, Robert Fico yupo katika hali tete kiafya baada ya kujeruhiwa katika jaribio linalodaiwa kulenga kukatisha uhai wake


Inaelezwa ameshambuliwa kwa risasi nne alipokuwa nje ya Nyumba ya Utamaduni katika Mji wa Handlova, Machi 15, 2024, ambapo Polisi wamefanikiwa kumdhibiti mshambuliaji aliyekuwa katika kundi la Watu waliosubiri kumsalimia kiongozi huyo


Mwaka 2023, Fico aliendesha kampeni iliyokosoa uungwaji mkono wa Nchi za Magharibi kwa Ukraine na kuahidi kukomesha msaada wa Kijeshi wa Slovakia kwa Ukraine. Pia, hakuficha hisia zake dhidi ya Kremlin (Urusi) na kulaumu Ukraine kwa kumchokoza Rais Vladimir Putin

Share: