Serikali kushirikiana na wadau wa maendeleo sekta ya madini


Hayo yamebainishwa leo Oktoba 26,2023 na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa alipomwakilisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar katika kufunga Mkutano wa tano wa Kimataifa wa Madini na Uwekezaji wa mwaka 2023.

Mhe .Majaliwa amesema kuwa Serikali ipo tayari na inaruhusu miradi ya maendeleo kutoka Sekta binafsi katika Utafutaji , Uchimbaji , uchorongaji na uongezaji thamani madini ili kufanikisha mikakati iliyopo kwa wachimbaji kwa wachimbaji wote nchini.

Share: