Wafahamu baadhi ya wanawake wa Afrika Mashariki wanaosifika kwa kuweka historia katika sekta ya usafiri wa anga.
1. Irene Koki mutungi: Rubani wa kwanza wa kike Kenya na nahodha wa kwanza wa kike wa ndege aina ya Boeing 787 Dreamliner barani Afrika.
2. Kapteni Neema Swai: Rubani wa kwanza wa ndege ya mizigo nchini Tanzania
3. Amsale Gualu: Kapteni wa kwanza wa kike wa Ethiopia
4. Esther Mbabazi: Rubani wa kwanza wa kike wa Rwanda
5. Itudria Andy Rachel: Rubani wa kwanza wa Kike wa Uganda
6. Gueda Yav Amani: Rubani wa kwanza wa kike DRC
7. Yolanda Ndala-Kaunda: Kapteni wa kwanza wa kike, Malawi
Share: