TRUMP PUTIN ANACHEZA NA SHILINGI CHOONI

Urusi ya mshtumu Trump kwa kuendeshwa na hisia baada ya kumuita Putin 'Mwenda wazimu' Ikulu ya nchi ya Serekali ya Urusi imekuja juu na kudai kuwa Donald Trump anaonesha dalili mbaya sana

Trump ameonesha kutokumweza Putin kihisia  baada ya kumuita Raisi huyo wa Nchi kubwa ya Urusi "mwendawazimu" kufuatia shambulio kubwa zaidi la vita ya angaa la Moscow dhidi ya Ukraine.


Raisi wa Marekani Mh Trump  alisema kwenye mtandao wa kijamii wa Truth social kwamba " kuna kitu kimetokea" Kwa Raisi wa Urusi Mheshimiwa Putin,baada ya Urusi kuwauwa zaidi ya watu 10 nchini Ukraine  kwakutumia Droni na makombora 367."Amekuwa  mwendawazimu"Raisi Trump alinena.

Share: