Rais samia ashiriki mkutano wa jukwaa la uwekezaji barani afrika, marrakesh - morocco

Rais Samia ashiriki Mkutano wa Jukwaa la Uwekezaji Barani Afrika, Marrakesh, nchini Morocco

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali waliohudhuria mkutano wa Jukwaa la Uwekezaji Barani Afrika, Marrakesh nchini Morocco tarehe 08 Novemba, 2023.

Share: