Msanii wa bongo fleva juma jux anunua gari mpya aina mercedes-benz

Msanii wa RnB juma jux ameshare na mashabiki zake namna ambavyo ameongeza Gari nyingine aina ya Mercedes-Benz baada ya kushare video hii wakati Gari yake hiyo mpya ikiingia nyumbani kwake

Jux kwenye ukurasa wake wa Instagram ameshare video clip fupi ya Gari hiyo mpya na kuandika "NEW TOY" huku wasanii wenzake wameonekana kumpongeza kupitia post hiyo aliyoiweka IG usiku wa kuamkia leo. 

Share: